NADEKEZWA LYRICS BY MBOSSO
Hook
Hohohoo hohoo hoho,
Hohohoo hohoo hoho
Verse 1
Salamu, ulizo nitumia ah,
Zimenifikia ah
Nipo salama hata usijali
Nalishwa vitamu, Vinono najilia ah
Biliyani yangamia ah
Penzi twa dalikana poo kidali
Nimekusahau, Nakumbuka tuu lako jina
Kidogo angaluu, Umeng'oa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau ah, Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau, Visenti haba mfuko umechina
Na ndo uwezo wangu ulipo ishia, Ningekupa nini tena
Kula yangu yakupapasia, hukumweza ukaatema
Mi sina gari, Ningekupa nini tena (ooohoohoo)
hukumweza ukaatema (Eeeheeehee)
Chorus
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… Nadeke…
Verse 2
Yani masham sham, mtoto kanikabiri
oooh hoho
Hadi na come come, kuminambili arufajiri
Na nishamvesha nyota, cheochake kikubwa cha mapenzi
Kanijaza kanichota, kanishika pabayaa
Nakutaadharisha, simu zausiku punguza
Unahatarisha, penzi langu moto kuunguza
Nishakusahau, nakumbuka tuu lako jina
Kidogo angaluu, Umengoa mizizi sio kukata shina
Penzi wakapanda dau anh, Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau, Visenti haba mfuko umechina
Nando uwezo wangu ulipo ishia, Ningekupa nini tena
Kula yangu yakupapasia, hukumweza ukaatema
Mimi sina gari, Ningekupa nini tena (ooohoohoo)
hukumweza ukaatema (eeeheeehee)
Chorus
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… Nadeke…
Hook
Hohohoo hohoo hoho,
Hohohoo hohoo hoho
Whatch nadekezwa by mbosso here
SONG WRITTEN BY MBOSSO
RELEASED JULY 2018 UNDER WCB
Comments
Post a Comment