NATAMBA LYRICS BY ASLAY
Intro
Natamba natamba
Natamba natamba
aaah!
Natamba natamba
Natamba natamba
aaah!
Verse 1
Kilichonishawishi upole wako
Na heshima yako
Wazazi wangu wamekusifia sana
Kwa tabia yako
Sura yako ya upole
Inanivutia aaah
Shape twiga mwenda pole
Najivunia
Oh tupeane mapenzi iwachome (eh)
Eeeh na kama number waisome (eh)
Hata tukigombana wasione (eh)
Washike jembe wakalime (eh)
Mapenzi mazuri
Wakutane wawili wanaopendana
Usizidishe washauri
Watasabisha tuje kugombana aaaah
Aeeeh
Kilichonishawishi upole wako
Na heshima yako
Wazazi wangu wamekusifia sana
Kwa tabia yako
Sura yako ya upole
Inanivutia aaah
Shape twiga mwenda pole
Najivunia
Oh tupeane mapenzi iwachome (eh)
Eeeh na kama number waisome (eh)
Hata tukigombana wasione (eh)
Washike jembe wakalime (eh)
Mapenzi mazuri
Wakutane wawili wanaopendana
Usizidishe washauri
Watasabisha tuje kugombana aaaah
Aeeeh
Chorus
Aee angalia shape (aah eeh)
Kama wema sepetu
Angalia jicho (ooh mama)
Hamisa Mobeto (aah eeh)
Karangi kake (aah eeh)
Elizabeth Michael (aah eeh)
Yani we mrembo
Wallahy nachukua jiko
We ndo wangu wa milele (milele)
Aee angalia shape (aah eeh)
Kama wema sepetu
Angalia jicho (ooh mama)
Hamisa Mobeto (aah eeh)
Karangi kake (aah eeh)
Elizabeth Michael (aah eeh)
Yani we mrembo
Wallahy nachukua jiko
We ndo wangu wa milele (milele)
Verse 2
Nauza dagaa ili ninunue motokaa
Nikuridhishe
Unanipa furaha na nguvu ya kusaka
Chapaa nisikuangushe
Una nyota ya adamu na hawa
Ooh tunavyopendana
Hata wakituchukia ni sawa
Ooh tuwaminyie mama
Wanaona umenipa dawa
Ooh wanaongea sana
Chunga usije kuota mbawa
Ooh ukaniacha dilemma
Nauza dagaa ili ninunue motokaa
Nikuridhishe
Unanipa furaha na nguvu ya kusaka
Chapaa nisikuangushe
Una nyota ya adamu na hawa
Ooh tunavyopendana
Hata wakituchukia ni sawa
Ooh tuwaminyie mama
Wanaona umenipa dawa
Ooh wanaongea sana
Chunga usije kuota mbawa
Ooh ukaniacha dilemma
Natabiri pweza penzi
Litafika mbali
Nacheka kingereza
Ndo maana nacheza
Ya watu natupia mbali
Natabiri pweza penzi
Litafika mbali
Ndo maana nacheza
Ya watu natupia mbali
Litafika mbali
Nacheka kingereza
Ndo maana nacheza
Ya watu natupia mbali
Natabiri pweza penzi
Litafika mbali
Ndo maana nacheza
Ya watu natupia mbali
Basi babe nikumbatie aah mama
Chorus
Aee angalia shape (aah eeh)
Kama wema sepetu
Angalia jicho (ooh mama)
Hamisa Mobeto (aah eeh)
Karangi kake (aah eeh)
Elizabeth Michael (aah eeh)
Yani we mrembo
Wallahy nachukua jiko
We ndo wangu wa milele (milele)
Aee angalia shape (aah eeh)
Kama wema sepetu
Angalia jicho (ooh mama)
Hamisa Mobeto (aah eeh)
Karangi kake (aah eeh)
Elizabeth Michael (aah eeh)
Yani we mrembo
Wallahy nachukua jiko
We ndo wangu wa milele (milele)
SONG WRITEN BY ASLAY
RELEASED OCTOBER 2017
Comments
Post a Comment