ZAIDI LYRICS BY JUX


Its bob manecky

Na na na na×4 

Verse 1
Zinanitoka goose bums, Nikisikia jina lako 
Mimi naweukaa, Kabisa me ni chizi wako 
Na kama ni mganga eeeh 
Mzuri uyo mganga wako 
Sio kwa kunipumbaza uku, Baby 
Mmhh

Hook 
Mamy ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh 
Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eeeh
Baby ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh 
Tena na sukari guru utamu nikitafuna eeeh 
Mmh

Pre - Chorus
Kama ni pili pili maa (na na na na) 
Na na na ah
Acha ukali niusikie (na na na na)
Na na na ah
Kama nivita mama (na na na na)
Na na na ah
Acha adui wanivamie (na na na na)
Na na na ah
Kama we ni asali maa (na na na na)
Na na na ah
Acha na nyuki wanivamie (na na na na)
Na na na ah
Lakini penzi lako baby (na na na na)
Na na na ah
Ata kidogo lisipungue (na na na na)
Na na na ah
No no nooooo 

Chorus
Zaidi zaidi zaidi zaidi (mhmhh) 
Nipe nipe Zaidi zaidi (mhmhh) 
Wewe zaidi zaidiii  (zaidii)
Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)

Verse 2 
Haya yaya yaaah yaaah... 
Haya yaya haya yaya yaaaah...
Nanyoosha mikoni juu, kwako me nimesurrender 
Naona maajabu Sungura kazidiwa ujanja 
Nimekuwa zuzu zuzu zuuu 
Nimekuwa bubu bubu buuu 
Nimekuwa mbumbu mbuu baby eh
Nimekuwa zaidi ya nyumbu 
Sioni sisikiii... (aaah)
Sioni sisikii baby eeh

Pre - Chorus
Kama ni pili pili maa (na na na na) 
Na na na ah
Acha ukali niusikie (na na na na)
Na na na ah
Kama nivita mama (na na na na)
Na na na ah
Acha adui wanivamie (na na na na)
Na na na ah
Kama we ni asali maa (na na na na)
Na na na ah
Acha na nyuki wanivamie (na na na na)
Na na na ah
Lakini penzi lako baby (na na na na)
Na na na ah
Ata kidogo lisipungue (na na na na)
Na na na ah
No no nooooo 

Chorus
Zaidi zaidi zaidi zaidi (mhmhh) 
Nipe nipe Zaidi zaidi (mhmhh) 
Wewe zaidi zaidiii  (zaidii)
Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)

Hook
Mamy ongeza ubuyu, Nizidi kuumumunya eee 
Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eee 
Baby ongeza ubuyu, Nizidi kuumumunya eeee 
Tena na sukari guru, utamu nikitafuna eeee Mhmhmh...

WATCH ZAIDI BY JUX HERE

SONG WRITTEN BY JUX

RELEASED SEPTEMBER 2018 UNDER AFRICAN BOY

Comments

Popular posts from this blog

NADEKEZWA LYRICS BY MBOSSO

JIBEBE LYRICS BY WCB FT DIAMOND, MBOSSO & LAVA LAVA

NATAMBA LYRICS BY ASLAY