MWAMBIE SINA LYRICS BY KINGS MUSIC (ALIKIBA, ABDU KIBA, CHEED, K2GA, KILLY)
Verse 1 (Killy)
Nafsi inalalama, Sina mwambiee
Kila nikimtazama kwa kina kiukweli
Mmwambie silali, Tena ananipa tabu
Kwake me sina hali, Ninampenda yeye tu
Oooh, Sina, sina aaa, sina mwambieni
Ye ndo dawa yangu, (Dawa)
Sina (dawa), sina aaah
Sina mwambieni ooh
Chorus (Alikiba)
Mwambie sina, Wakutamba nae (sina mie)
Mwambie sina, Wa kuringa nae (sina mie)
Mwambie sina, Wakutamba nae (sina mie)
Mwambie sina, Wa kuringa nae (sina mie)
Kama ni gari me, Nimpatie yeye (anijue)
Kama ni nyumba me, Nimpatie yeye (anitambue)
Kama ni gari me, Nimpatie yeye (anijue)
Kama ni nyumba me, Nimpatie yeye (anitambue)
Verse 2 (Cheed)
Nenda mwambie mimi sina oooh, Wa kumpa siri zangu anitunzie moyo
Tena mwambie mimi niko hoi, Me nampenda aiyo iyo iyo iyo
Me napenda hesima, Atulie nimuweke ndani
Kanichapa usinga, Kanifunga mdomo siachami
Ona napata shida ya moyo why yoyo ma
Mamy yo yo mamy yo yo yey (wakutamba nae)
Chorus (Alikiba)
Mwambie sina, Wakutamba nae (sina mie)
Mwambie sina, Wa kuringa nae (sina mie)
Mwambie sina, Wakutamba nae (sina mie)
Mwambie sina, Wa kuringa nae (sina mie)
Kama ni gari me, Nimpatie yeye (anijue)
Kama ni nyumba me, Nimpatie yeye (anitambue)
Kama ni gari me, Nimpatie yeye (anijue)
Kama ni nyumba me, Nimpatie yeye (anitambue)
Verse 3 (K2ga & Abdul kiba)
Ona me nakosa raha, Amani sina
Sina ninacho taka, Wewe ndo wa pekee
Skendo nitende vipi, Wabongo wanitangazee
Wanasema unadanga, Kwangu ni danga che
Yani ni kwa ape (pe) che (che) alolo
Kama madebe, madebe, madebe , madebe
Kama madebe, madebe, madebe , madebe
Baadae (mimi nawe)
Badae (cheri wangu)
Baadae (oo ooh)
Baadae (la la)
Baadae (mimi nawe)
Badae (tutaonana aaa aahh, oo oooh)
Baadae
Baadae
Chorus (Alikiba)
Mwambie sina (mwmbie sina), Wakutamba nae (sina mie)
Mwambie sina (ooh yeh yeh), Wa kuringa nae (sina mie)
Mwambie sina, Wakutamba nae (sina mie)
Mwambie sina , Wa kuringa nae (sina mie)
Kama ni gari me, Nimpatie yeye (anijue)
Kama ni nyumba me, Nimpatie yeye (anitambue)
Kama ni gari me, Nimpatie yeye (anijue)
Kama ni nyumba me, Nimpatie yeye (wakutamba nae)
WATCH MWAMBIE SINA BY KINGS MUSIC HERE
Comments
Post a Comment