NITAKE NINI LYRICS BY LAVA LAVA
Verse 1
Aaa eeh, ee eeh
Kkwako tena sitamani, Nilishajua nilivaba huna jiipya
Kurudi haiwezekani, Nishalioga janaba nikajisafisha
Mmmh
Oh maradhi yangu, Yamepata muuguzi
Mola waangu, Amenivusha viunzi
Pole mwenzangu, Unaekesha kwa waganguzi
Nisahapata waangu, Anaejua nogesha chuzi
Hook
Naaa, ananipa mapenzi, Na kunijali dear
Ya nyuma niyasahau
Naaa, anamaliza tenzi, Kutwa kunisifiaa
Kwa methali na nahau
Chorus
Kwengine nitake nini (Ntang'ang'ana nag'ang'ania)
Oooh mimi (nang'ang'ana nang'ang'ania)
Sitaki madanga wa mjini (nang'ang'ana nang'ang'ania)
Oooh mimi (nang'ang'ana nang'ang'ania)
Ah atake cha uvunguni (saawa sawa)
Bingili za sakafuni (saawa sawa)
Michezo ya kusaka kunguni (saawa sawa)
Eh eh eh, Tom na jerry cartoon (saawa sawa)
Saawa
Verse 2
Uliposema wa nini, Ye aliwaza atanipata lini
Ngendembwe za nini, Na vijembe vya chini chini
Yupo makiini, Penzi kashalibana na pini
Anipenda miimi, Ajazoea kudhinidhini
Kwanza, Kakuzidi maarifa, Mpira tisini dakika
Nyavu anazitikisa aa eh
Mlangoni mpaka kwa dirisha, Pindu ananipindisha
Mtoto ananifikisha aa eh
Hook
Naaa, ananipa mapenzi, Na kunijali dear
Ya nyuma niyasahau
Naaa, anamaliza tenzi, Kutwa kunisifiaa
Kwa methali na nahau
Chorus
Kwengine nitake nini (Ntang'ang'ana nag'ang'ania)
Oooh mimi (nang'ang'ana nang'ang'ania)
Sitaki madanga wa mjini (nang'ang'ana nang'ang'ania)
Oooh mimi (nang'ang'ana nang'ang'ania)
Ah atake cha uvunguni (saawa sawa)
Bingili za sakafuni (saawa sawa)
Michezo ya kusaka kunguni (saawa sawa)
Eh eh eh, Tom na jerry cartoon (saawa sawa)
Saawa
Comments
Post a Comment