TAMU LYRICS BY MBOSSO




Intro

Wasafi Records… 


Verse 1

Ooh Kasuku mwenye sauti nyororo, Mususu ya soro ndombolo 

Na bando letu la buku,Twapeluzi mpaka tommorrow 

Mambo iko huku, Penzi twalila kwa solo 

Hmmm Anipelekesha, msobe msobe, Kama fuso lapanda mlima 

Na nilivyo fundi kuchelewesha, Kobe kobe Simpi dusko nzima nzima (aah) 


Hook

Mukoroge sumu munywe, kwenye vijiba vya roho 

Yatawatoka mapunye, Mumwe kwashakoo 

Tena wavimbe na wanune, ishakua yako
Itafune imung'unye, ifike kunako 

ooh baby


Chorus

Kushika kiuno (tamu) 

Niku chumu chumu (tamu) 

Niki kukumbatiaa (tamu) 

Tamu kolea Penzi letu baby (tamu) 

Yani mpaka kisogoni (tamu) 

Torororoo (tamu) 

Tamu kolea 


Verse 2

Baby
tufanye wazi wazi watuone, Picha weka DP na makopa kopa caption 

Baaby
walokosa kazi wanong'one, Wapandishe BP Wapumue kwa oxygen 

Waambie
vimberu mberu Sio penzi la mashaka, Tusha soma dua kusitirika Kwa wenye macho ya paka 

Waambiee Mimi beberu, sio jogo la pasaka
Wanajisumbua kukunja ndita, watazeeka haraka 

Steel wire ananisugua (Kwa makovu kovu) 

Hanaga mbaya laazizi (Show mbovu mbovu) 

Tena fundi mwaya Kazi anaijua (My love love) 

Haijawahi kupwaya yani ikiingia


Hook 

Mukoroge sumu munywe, kwenye vijiba vya roho 

Yatawatoka mapunye, Mumwe kwashakoo 

Tena wavimbe na wanune, ishakua yakoo 

Itafune imung'unye ifike kunako 

ooh baby 


Chorus

Kushika kiuno (tamu) 

Niku chumu chumu (tamu) 

Niki kukumbatiaa (tamu) 

Tamukolea 

Penzi letu baby (tamu) 

Yani mpaka kisogoni (tamu) 

Torororoo (tamu) 

Tamu kolea 


Outro

Ebo baby mtoto kakua (Kasima dede) 

Nimtazame (Kasimama dede) 

Mwana anatembea (Kasimama dede) 

Yani tee tee Anataka aking'ate (Kasimama dede) 

Kaona kitumbua (Kasimama dede) 

Amekua baba (Kasimama dede)

SONG WRITTEN BY MBOSSO


PRODUCED BY LIZER


PUBLISHED DECEMBER 22, 2018 UNDER WCB WASAFI


Comments

Popular posts from this blog

NADEKEZWA LYRICS BY MBOSSO

JIBEBE LYRICS BY WCB FT DIAMOND, MBOSSO & LAVA LAVA

NATAMBA LYRICS BY ASLAY