NITAKE NINI LYRICS BY LAVA LAVA

Verse 1 Aaa eeh, ee eeh Kkwako tena sitamani, Nilishajua nilivaba huna jiipya Kurudi haiwezekani, Nishalioga janaba nikajisafisha Mmmh Oh maradhi yangu, Yamepata muuguzi Mola waangu, Amenivusha viunzi Pole mwenzangu, Unaekesha kwa waganguzi Nisahapata waangu, Anaejua nogesha chuzi Hook Naaa, ananipa mapenzi, Na kunijali dear Ya nyuma niyasahau Naaa, anamaliza tenzi, Kutwa kunisifiaa Kwa methali na nahau Chorus Kwengine nitake nini (Ntang'ang'ana nag'ang'ania) Oooh mimi (nang'ang'ana nang'ang'ania) Sitaki madanga wa mjini (nang'ang'ana nang'ang'ania) Oooh mimi (nang'ang'ana nang'ang'ania) Ah atake cha uvunguni (saawa sawa) Bingili za sakafuni (saawa sawa) Michezo ya kusaka kunguni (saawa sawa) Eh eh eh, Tom na jerry cartoon (saawa sawa) Saawa Verse 2 Uliposema wa nini, Ye aliwaza atanipata lini Ngendembwe za nini, Na vijembe vya chini chini Yupo makiini, Penzi kashalibana na pini Anipenda ...