Posts

Showing posts from October, 2018

NITAKE NINI LYRICS BY LAVA LAVA

Image
Verse 1 Aaa eeh, ee eeh Kkwako tena sitamani, Nilishajua nilivaba huna jiipya Kurudi haiwezekani, Nishalioga janaba nikajisafisha Mmmh Oh maradhi yangu, Yamepata muuguzi Mola waangu, Amenivusha viunzi Pole mwenzangu, Unaekesha kwa waganguzi Nisahapata waangu, Anaejua nogesha chuzi Hook Naaa, ananipa mapenzi, Na kunijali dear Ya nyuma niyasahau Naaa, anamaliza tenzi, Kutwa kunisifiaa Kwa methali na nahau Chorus Kwengine nitake nini (Ntang'ang'ana nag'ang'ania) Oooh mimi (nang'ang'ana nang'ang'ania) Sitaki madanga wa mjini (nang'ang'ana nang'ang'ania) Oooh mimi (nang'ang'ana nang'ang'ania) Ah atake cha uvunguni (saawa sawa) Bingili za sakafuni (saawa sawa) Michezo ya kusaka kunguni (saawa sawa) Eh eh eh, Tom na jerry cartoon (saawa sawa) Saawa Verse 2 Uliposema wa nini, Ye aliwaza atanipata lini Ngendembwe za nini, Na vijembe vya chini chini Yupo makiini, Penzi kashalibana na pini Anipenda ...

MWAMBIE SINA LYRICS BY KINGS MUSIC (ALIKIBA, ABDU KIBA, CHEED, K2GA, KILLY)

Image
Verse 1 (Killy) Nafsi inalalama, Sina  mwambiee Kila nikimtazama kwa kina kiukweli Mmwambie silali, Tena ananipa tabu Kwake me sina hali, Ninampenda yeye tu Oooh, Sina, sina aaa, sina mwambieni Ye ndo dawa yangu, (Dawa) Sina (dawa), sina aaah Sina mwambieni ooh Chorus (Alikiba) Mwambie sina, Wakutamba nae (sina mie) Mwambie sina, Wa kuringa nae (sina mie) Mwambie sina, Wakutamba nae (sina mie) Mwambie sina, Wa kuringa nae (sina mie) Kama ni gari me, Nimpatie yeye (anijue) Kama ni nyumba me, Nimpatie yeye (anitambue) Kama ni gari me, Nimpatie yeye (anijue) Kama ni nyumba me, Nimpatie yeye (anitambue) Verse 2 (Cheed) Nenda mwambie mimi sina oooh, Wa kumpa siri zangu anitunzie moyo Tena mwambie mimi niko hoi, Me nampenda aiyo iyo iyo iyo Me napenda hesima, Atulie nimuweke ndani Kanichapa usinga, Kanifunga mdomo siachami Ona napata shida ya moyo why yoyo ma Mamy yo yo mamy yo yo yey (wakutamba nae) Chorus (Alikiba) Mwambie sina, Wakutamba nae (sina ...

ZAIDI LYRICS BY JUX

Image
Its bob manecky Na na na na×4  Verse 1 Zinanitoka goose bums, Nikisikia jina lako  Mimi naweukaa, Kabisa me ni chizi wako  Na kama ni mganga eeeh  Mzuri uyo mganga wako  Sio kwa kunipumbaza uku, Baby  Mmhh Hook   Mamy ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh  Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eeeh Baby ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh  Tena na sukari guru utamu nikitafuna eeeh  Mmh Pre - Chorus Kama ni pili pili maa (na na na na)  Na na na ah Acha ukali niusikie (na na na na) Na na na ah Kama nivita mama (na na na na) Na na na ah Acha adui wanivamie (na na na na) Na na na ah Kama we ni asali maa (na na na na) Na na na ah Acha na nyuki wanivamie (na na na na) Na na na ah Lakini penzi lako baby (na na na na) Na na na ah Ata kidogo lisipungue (na na na na) Na na na ah No no nooooo  Chorus Zaidi zaidi zaidi zaidi (mhmhh)  Nipe nipe Zaidi...

NAOGOPA LYRICS BY RICH MAVOKO

Image
Verse 1 Nipige guiter keyboard, Au ni sing I swear Niimbe tamu melody, Au......................... Remember mtukuzi toddi, Ukumbuke we Niforce nilipe kodi, Niishi na wee Nimeridhika mtoto we maridhawa, Kwa umbo Patashika shinji kagawa, Kiungo Kama nakuona unaingia chumbani (unaingia chumbani) Nakuona unapanda kitandani eeh Kama nakuona unaingia chumbani (unaingia chumbani) Nakuona unapanda kitandani eeh Hook Ooh my sweet baby Aaah, I miss you oh (umebeba moyo wangu) Aaah, I love you oh (my sweet baby) Aaah, I miss you oh (umeninogesha kwa chachandu baby baby baby eh) Aaah, I love you oh (my sweet baby oh) Chorus Naogopa ugonjwa wa moyo huo Ah ugonjwa wa moyo huo Naogopa ugonjwa wa moyo huo Moyo nitaubebaje Naogopa ugonjwa wa moyo huo Ah ugonjwa wa moyo huo Naogopa ugonjwa wa moyo huo Kukuacha naanzaje Verse 2 Aah ah, Salima mama salima, Papi kocha seya salima (seya wamiparo) Aah ah, Naima kweli naima, Umenihaibisha kisa karina Ule mchupa...

SWAGIREE LYRICS BY WEUSI

Image
Chorus (Joh makini & G Nako) Ungana nasi ma mezani le Temana nasi ka umekaa ki le x2 Usikae ki le (swagire) Swagire x3 Maside le eh Ungana nasi ma mezani le (ma mezani le) Temana nasi ka umekaa ki le (ka umekaa ki le) Mafala si ndo wamecatch eh (wamecatch le) Mafala si ndo wamecatch eh Verse 1  (G Nako) Ahh, Hii ngoma si ya kitoto wapi ID Watoto wanapinda vibinda, Nenda IG Idea hapa ni kuwamaliza flow ni tichi Vijana wamecorrupt medulla ita IT Imekula, Wazee tuliwakatia genge Imekula, Chuki zinaleta unenge Imekula, Iki chuma chuma ulete Imekula, Mganga MUNGU mambo ni yente Hook (Joh Makini) Viburi flow, viburi flow, viburi flow Atukutani kwenye dirisha la malipo x2 Chorus (Joh makini & G Nako) Ungana nasi ma mezani le Temana nasi ka umekaa ki le x2 Usikae ki le (swagire) Swagire x3 Maside le eh Ungana nasi ma mezani le (ma mezani le) Temana nasi ka umekaa ki le (ka umekaa ki le) Mafala si ndo wamecatch eh (wamecatch le) Mafala si ndo...

GO GAGA LYRICS BY LAVA LAVA

Image
Abbah... Verse 1 Ana, Jicho la kukonyeza, Ana mikogo ka shakira (mmh) Nyuma mkia wa pweza, Shepu katapira Mechi tunazo zicheza, kitandani fundi mpira Ameniweza, Napumua kua mipira Hook Tena, kiuno laini, Chuchu dodo dodo Kitovuni kipini, Mtoto jojo jojo Avae dera kimini, Nyuma rojo rojo Katoto ndizi maini, Yani sotojo tojo Yih.. Chorus Aah Go gaga (ah eh) Fanya kama unataga (ah eh) Tuzivunje chaga (ah eh) Ongeza mazaga zaga (ah eh) Ah Go gaga (ah eh) Fanya kama unataga (ah eh) Tuzivunje chaga (ah eh) Ongeza mazaga zaga Basi waonyeshe (waone) Waone Basi waonyeshe (waone) Waonyeshe (waone) Basi waonyeshe (waone) Waone Basi waonyeshe (waone) Waonyeshe (waone) Basi waonyeshe Verse 2 Mungu alikuumba kwa udongo, We mtoto fire (fire fire) Utaja nipa mazongo, Ukija retire (tire tire) Eh Nizidishie uhondo, Stimu za kaya (kaya kaya) Si chururu ndondondo, Penzi likapwaya (pwaya pwaya) Unavyo nichanganya manuva (iyeh) Kiuno speed kama msuva (iyeh) Kw...

WET LYRICS BY VANESSA MDEE FT G NAKO

Image
Intro (Vanessa Mdee & G Nako) AAy! Big tune man Nahreel on the beat Follow the rhythm feel the bass Follow the rhythm feel the bass Vee money be the one on your case Who be the one, the one on your case Correct, correct, correct Vee money on the track, yeah (rrr) Chorus (G Nako & Vanessa Mdee) Can I make you Sweat sweat sweat Sweat sweat sweat (oh nana) Make your body Wet wet wet Wet wet wet Can I make you Sweat sweat sweat Sweat sweat sweat (oh nana, eeh) Make your body Wet wet wet Wet wet wet Hook (Vanessa Mdee & G Nako) Uno unavyolishusha kwa chini (correct) Uno unavyolipandisha juu (correct) Na vile navyozungusha ooh, yeah (correct, correct, correct, correct ) Verse 1 (Vanessa Mdee) Notification come you liking what you see, yeah Is it me or are you feeling my body (body, body...) Me I have to wonder (is it) Boy you umesanda (is it) Usilete janja janja Huh, what a good pretender Unawasakazia bartender Mwaga pesa hupati number, ng'o Mipango yako ya kishamba boy Cho...

LOVER BOY LYRICS BY BARNABA

Image
Intro Akiongwa pesa hataki Na penzi langu amelidhihaki Amekubali na kubaki Aki ya mungu jama simuachi Verse 1 Kwenye life watu wengi wanafeki yule wa nyuma aliseparate Maisha sio lazima kudate na videnti Come on Kama ni gari kwako nimefunga breki Na pendo langu kwako halielezeki kwako si act wala sifeki siko true na nipo na warembo feki Najua umeshaumizwa na wengi sana Ushakutana na ma heart breaker Ila sio mimi ii I am a good boy Hook Walishazichezea hisia zako mpenzi wangu, mwisho wa siku wakakuacha ukilia ah Mapenzi ukayachukia aa ah Ila sio mimi I am a good boy I am a good boy I am a good boy (call me your husband) Good boy (Odada dey) Baby Chorus Don't call me, lover boy Don't call me lover, lover, lover, boy baby Don't call me, lover boy I am an innocent baby Odada dey Don't call me, lover boy Don't call me, call me, call me lover boy baby Don't call me lover boy I am an innocent baby Odada dey Verse 2 ...

AFRICAN BEAUTY LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT OMARION

Image
Verse 1 (Diamond Platnumz) Ah! Ah! Ah! Ah! Hhhmm Hhhmm Hhm Hhm Yeeh! Am in love with you There's nothing that i wouldn’t do Catch a bullet for you As long as you want me too Am in love with you There's nothing that i wouldn’t do Catch a grenade for you As long as you want me too Bridge (Diamond Platnumz) Penzi ntalipamba Ngonjera Huba kama Tanga Segera Kwa viuno vya baikoko Kutoka Manzabey Picha twa zitwanga kisela Post Insta wanga kuwakera Baada ya chali kimoko Cause i just wanna let them know Chorus (Diamond Platnumz) Your my African Beauty African Beauty Your my African Beauty Aah! Your my African Beauty Your my My African Beauty Verse 2 (Omarion) Ooooh la! la! la! Ooooh la! la! la! Round the World Girl I've been looking for yuh I think i might just find yuh In Africa.... (Am in love with you girl) Girl you know the sound When i come around Lost you in the crowd Girl pick up your crown (yeah) Do it now Do it Do it now Do it now Do it Do it now Bridge (Omarion) Penzi n...

WAKA LYRICS BY DIAMOND PLATNUMZ FT RICK ROSS

Image
Intro (Diamond Platnumz &  Rick Ross) Wasafi Maybach Music The black bottle boys Huh! Bridge (Diamond Platnumz) Fuck you like nobody Sucking your whole body Rocking everyday, party Clean bitch playing dirty Oh! Verse 1 (Diamond Platnumz) Before the night cuddle We light up the place And then we pop bottles Belaire Champagnes Cause love is the thing that I have in my heart, and is there for you African queen that I need and I want everyday, its only you Leo Beki Kadaka kona Mwendo wa kreti kwa nyama choma Bao kila mechi, Ka Maradona Tukishawaka And we sing along Chorus (Diamond Platnumz &  Rick Ross) Ooh lalala, ooh lalala Ooh lalala, Yes we sing along Ooh lalala, ooh lalala And we go like Waka waka, waka waka Waka Waka waka, waka waka Waka waka, waka waka Waka Waka waka, waka waka ( waka waka waka ) Verse 2 (Rick Ross) (Maybach Music) Yo Boys we jadded Now we Running with the young kings (huh) Biggest boss everywhere we go, we run the streets (huh) Never gossip...